• KIBAYACLASSIC

    The voice of Africa

    Friday, May 5, 2017

    CIA INAPANGA KUMUUA KIM JONG UN

    Image result for KCNA

    Shirika la kijasusi la korea kaskazini KCNA limetoa taarifa leo kuwa shirika la upelelezi la marekani CIA na lile la korea kusini IS wanapnga njama za kumuua kiongozi wa taifa hilo KIM JONG UN.Katika taarifa hiyo iliyotolewa leo ijumaa KCNA wanasema mashirika hayo ya kijasusi ya marekani na korea kusini yanashirikiana na vikundi vya siri vya kigaidi kutaka kufanya shambulio la kemikali ya sumu ili kumuangamiza kiongozi wa nchi hiyo.
    Hata hivyo madai ya korea kaskazini hayana ushahidi wa kutosha juu ya kile inachokida

    No comments:

    Post a Comment