• KIBAYACLASSIC

    The voice of Africa

    Wednesday, July 12, 2017

    HALI YA DHARURA YATANGAZWA KUTOKANA NA UPUNGUFU WA BANGI


    Image result for BANGI
    Maafisa katika jimbo la Nevada nchini Marekani wanachukua hatua za dharura kukabiliana na uhaba wa bangi.
    Mahitaji yamekuwa ya juu tangu bangi ihalalishwe kwa matumizi ya kujiburudisha tarehe mosi mwezi huu.
    Hii imetokana na ukosefu wa wauzaji wa autosha.
    Sheria iliwapa wauzaji wa pombe ruhusa ya kuuza bangi lakini wengi hawatimizi mahitaja ya leseni kuweza kuuza bidhaa hizo.
    Idara ya kodi katika jimbo hilo ilitangaza dharaua, inayomaanisha kuwa maafisa watachukua hatua za dharura kukabiliana na uhaba huo.
    Mauzo ya karibu dola milioni 3 yalikadiriwa siku nne za kwanza baada ya matumizi ya bangi kuhalalishwa.
    Nevada ilipiga kura ya kuhalalisha matumi ya bangi kwa burudani mwezi Novemba kufuatiu hatua kama hizo katika majimbo mengine.
    Matumzi ya bangi kwa matibabu yameruhusiwa katika majimbo 25 ikiwemoi Nevada ambapo imehalalishwa tangu nwaka 2001.

    No comments:

    Post a Comment