• KIBAYACLASSIC

    The voice of Africa

    Tuesday, October 27, 2015

    WASIRA HAJAKUBALIANA NA MATOKEO YALIYOMTUPA NJE YA MJENGO

    #‎UCHAGUZI2015‬:Mgombea Ubunge wa Muda mrefu wa jimbo la Bunda Mh.Steven Wasira aliyekuwa akitetea kiti chake na kunyang"anywa na Bi.Ester Bulaya kwa wingi wa kura amesema hakubaliani na ushindi aliopatiwa Bulaya katika jimbo hilo kwa kuwa yeye anatosha bado kuwatumikia wananchi jimboni humo.

    No comments:

    Post a Comment