• KIBAYACLASSIC

    The voice of Africa

    Tuesday, October 27, 2015

    JAMES MBATIA ATWAA JIMBO LA VUNJO

    Tume ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza James Mbatia wa NCCR Mageuzi kuwa mbunge mteule wa jimbo la Vunjo huku kada wa Chadema, Anthony Komu naye akiibuka mshindi katika jimbo la Moshi Vijijini lililokuwa linaongozwa na Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara, Dk. Cyril Chami kupitia CCM.

    No comments:

    Post a Comment