• KIBAYACLASSIC

    The voice of Africa

    Thursday, December 3, 2015

    KITUO CHA REDIO ZANZIBAR CHACHOMWA MOTO

                                                                                                                                                                Watu wasiojulikana wamevamia na kuchoma moto kituo cha redio cha HITS FM muda mfupi uliopita.Katika tukio hilo ,pia mtangazaji mmoja wa kituo hicho amejeruhiwa huku kituo kikiungua na kuteketea kabisa .Tutaendelea kukuletea habari hii kwa kina hapo baadae

    No comments:

    Post a Comment